1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

PEGIDA

PEGIDA – Wazalendo wa Ulaya dhidi ya kuenezwa kwa Uisilamu katika mataifa ya Magahribi – ni vuguvugu lililoanzia mjini Dresden, Ujerumani, ambalo limekuwa likiitisha maandamano ya umma tangu Oktoba 2014.