1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nigeria

Jamhuri ya Shirikisho la Nigeria, maarufu zaidi Nigeria, ni nchi iliyoko kanda ya Afrika Magharibi. Inapakana na Benin, Chad, Cameroon na Niger. Pwani yake ya kusini iko kwenye ghuba ya Guinea katika bahari ya Atlantiki.

Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi