1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mwanamitindo wa mitaani na mwamko mpya wa mitindo Johannesburg

23 Januari 2018

Kutana na mwanamitindo wa mitaani anayeleta mwamko mpya wa mitindo huko Johannesburg na kuondoa fikra kwamba Afrika inakabiliwa tu na vita, vurugu na umaskini. Anasema Afrika ina mazuri mengi ya kusimuliwa. Angalia video hii fupi kuhusu Vijana Mubashara.

https://p.dw.com/p/2rNzL