Mti wa Mgandi ambao ni sehemu ya matambiko katika jamii za kibantu, unaotumiwa pia kama dawa za kiasilia, uko katika hatari ya kukatwa. Wakaazi wa Ngoloka katika kaunti ya Kilifi nchini Kenya wanasema huenda hatua hiyo ikaharibu historia kubwa ya jamii hiyo. #Kurunzi19.01.2020