1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mti maarufu wa Mgandi

Amina Mjahid
19 Januari 2021

Mti wa Mgandi ambao ni sehemu ya matambiko katika jamii za kibantu, unaotumiwa pia kama dawa za kiasilia, uko katika hatari ya kukatwa. Wakaazi wa Ngoloka katika kaunti ya Kilifi nchini Kenya wanasema huenda hatua hiyo ikaharibu historia kubwa ya jamii hiyo. #Kurunzi19.01.2020

https://p.dw.com/p/3o8Py