1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 27.10.2018

27 Oktoba 2018

Uturuki, Ujerumani, Urusi na Ufaransa zajadili mustakabal wa Syria.Waziri wa mambo ya nje wa Saudi Arabia Adel al -Jubeir amesema vilio vinavyosikika duniani kote juu ya kuuliwa Jamal Khashoggi vimegeuka kioja. Huko nchini Marekani anayetuhumiwa kutuma vifurushi vya mabomu atiwa mbaroni.

https://p.dw.com/p/37Gin