1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana: 19.05.2019

Iddi Ssessanga
19 Mei 2019

Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amesema anataka kuwasilisha mpango mpya kwa wabunge katika wiki zijaz. Mwanadiplomasia wa juu wa Saudi Arabia amesema taifa hilo la kifalme halitaki vita lakini litajitetea.Mbunge wa Republican apendekeza mchakato wa kumtimua rais Trump. UNHCR lautaka Umoja wa Ulaya kutowarejesha wahamiaji Libya.

https://p.dw.com/p/3IkL7