Viongozi wa kundi la nchi saba zilizoendelea kiviwanda duniani maarufu kama G7 wanajaribu kuunda tamko la pamoja baada ya mkutano wao wa nchini Canada. Baraza la Usalama lateua wanachama watano kwa kipindi cha miaka miwili. Wapalestina waugeukia Umoja wa Mataifa kutafuta ulinzi wa raia wake.