1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni 13.10.2018

Yusra Buwayhid
13 Oktoba 2018

Trump aapa kuiadhibu vikali Saudia iwapo itakuwa imehusika na kifo cha mwandishi habari Jamaal Khashoggi. Maelfu waandamana mjini Berlin Ujerumani dhidi ya siasa kali za mrengo wa kulia za chama cha AfD. Na, Papa Francis awaondolea sifa maaskofu wawili wa Chile.

https://p.dw.com/p/36Ubb