1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni 09.02.2019

9 Februari 2019

Rais wa Venezuela Nicolas Maduro asema hatoruhusu misaada "bandia" kuingia nchini mwake. Mkutano wa pili kati ya Donakd Trump na Kim jong Un kufanyika mjini Hanoi baadae mwezi huu. Wakimbizi wa Syria walioko kambi ya Rukban, nchini Lebanon wakabiliwa na hali mbaya.

https://p.dw.com/p/3D3l3