Tunatumia 'cookies' ili kuboresha huduma zetu kwako. Maelezo zaidi yanaweza kupatikana katika sera yetu ya faragha.
Sikiliza matangazo ya Dunia Yetu Leo Asubuhi kutoka Idhaa ya Kiswahili ya DW.
Tuma Facebook Twitter Whatsapp Web EMail Telegram Facebook Messenger Web
Kiungo https://p.dw.com/p/3nE8B
Moja kwa moja kutoka nyumbani kwa mabingwa wa soka wa dunia, Ligi ya Ujerumani, Bundesliga, inakujia sasa nyumbani kwako barani Afrika kupitia radio Deutsche Welle na washirika wake.
Licha Serikali ya Burundi kufunga mipaka yake ya majini na nchi kavu tangu Januari 11 kwa ajili ya kujihadhari na virusi vya Corona, raia wa maeneo hayo wanaendelea na shughuli zao bila kuchukua tahadhari za kujikinga.
Taarifa za kifo cha mtangazaji mwenzetu Mohammed Dahman, aliyeaga dunia siku ya Ijumaa (02.08.2019) mjini Cologne, magharibi mwa Ujerumani, zimeishtua timu nzima ya Idhaa ya Kiswahili ya DW mjini Bonn.
Urusi inatishia kubatilisha kibali cha Deutsche Welle baada ya kukataa mwaliko wa kufika mbele ya tume ya bunge la Urusi mjini Moscow. Urusi inadai DW imeshawishi wananchi wake waandamane