1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo wa Mchana: 29.06.2019

29 Juni 2019

Mataifa 19 ya kundi la G20 kutekeleza makubaliano ya Paris kuhusu tabianchi. Nahodha wa meli ya misaada ya Ujerumani aikaidi Italia na kushusha wahamiaji. UN:Takriban mtoto mmoja mhamiaji hufariki kila siku tangu 2014. Kundi la Taliban lawauwa wanamgambo 26 wa serikali Afghanistan.

https://p.dw.com/p/3JfxT