1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mahujaji waelekea Mlima Arafat Makka

19 Julai 2021

Mahujaji wa Kiislam nchini Saudi Arabia leo wamekusanyika katika eneo la Minna katika mlima Arafat ikiwa ni siku ya pili na muhimu ya ibada ya Hijja inayofanywa kwenye mji mtakatifu wa Makka.

https://p.dw.com/p/3wiBA