JamiiMafuriko yasababisha maafa KenyaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiJohn Juma08.05.20188 Mei 2018Maelfu ya Wakenya wamekumbwa na majanga ambayo yamesababishwa na mafuriko. Watu 100 wanahofiwa wamekufa huku wengine zaidi ya 200,000 wakipoteza makazi baada ya nyumba zao kusombwa na mafuriko.https://p.dw.com/p/2xMrAMatangazo