Mwenyekiti wa muungano wa Jubilee unaotawala nchini Kenya, David Murathe, ametangaza kujiuzulu wadhifa wake baada ya ya muda mrefu wa kutafautiana na Makamu wa Rais William Ruto, akisema hapaswi kuwania urais ufikapo mwaka 2022 na kwamba hakuna mkataba katika chama hicho kumuunga mkono Ruto katika uchaguzi mkuu ujao.