Katika tamasha za shule nchini Kenya, wanafunzi wamekuwa wakitumia sanaa kuibua mijadala ya kijamii—lakini mwongozo mpya wa serikali unataka kudhibiti maudhui hayo kutokana na kile walichokiita "matumizi mabaya ya wanafunzi". Je, mwongozo huo ni ulinzi wa maadili au ni hatua inayolenga kupunguza nafasi ya vijana kujieleza?