Kombe ni aina ya chakula maalum kinacholiwa na Bwanaharusi baada ya kufunga ndoa katika jamii ya wadigo nchini Kenya. Makala ya Tamaduni na Sanaa Faiz Mussa anaangazia utamaduni huo na kukualika japo kwa kifikra kukionja chakula cha Kombe kinacholiwa na Bwanaharusi.