SiasaAfrikaKinagaubaga na Suleiman Shahbal, gwiji la siasa MombasaTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaAfrikaFathiya Omar28.06.202228 Juni 2022Suleiman Shahbal ni mmoja wa vigogo wa siasa katika mji wa Mombasa nchini Kenya. Katika kuelekea uchaguzi mkuu nchini humo, mwandishi wetu Fathiya Omar alikutana na mwanasiasa huyo mashuhuri na kuzungumza naye Kinagaubaga.https://p.dw.com/p/4DLhkMatangazo