1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Joto laongozeka dhidi ya Boris Johnson

Rashid Chilumba6 Julai 2022

Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson anakabiliwa na shinikizo la kumtaka ajiuzului na kuitisha uchaguzi wa mapema. Mchambuzi wa masuala ya siasa za kimataifa Ahmed Rajab akiwa mjini London amezungumza Rashid Chilumba kuhusu hali inayomkabili Johnson

https://p.dw.com/p/4Dlrn