JamiiJanga la ukame laathiri maeneo ya KilifiTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamii26.09.202226 Septemba 2022Chakama ni mojawapo ya maeneo yanayokabiliwa na ukame mkubwa hapa Kilifi kutokana na upungufu wa mvua, hali ambayo imeathiri wenyeji pakubwa huku wengine wakigeukia kula matunda ya porini ili kuishi.https://p.dw.com/p/4HN0UMatangazo