1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaAsia

Vifo vya maporomoko ya ardhi vyaongezeka hadi 49 Indonesia

31 Januari 2026

Idadi ya vifo vilivyotokana na maporomoko ya ardhi yaliyotokea wiki iliyopita katika jimbo la West Java nchini Indonesia imeongezeka hadi 49,

https://p.dw.com/p/57n3W
Jamaa wafuatilia operesheni ya utafutaji na uokoaji baada ya maporomoko ya ardhi yaliyosababisha vifo huko Pasirlangu.
Jamaa wafuatilia operesheni ya utafutaji na uokoaji baada ya maporomoko ya ardhi yaliyosababisha vifo huko Pasirlangu.Picha: Ulet Ifansasti/Getty Images

Shirika kuu la uokoaji la nchi hiyo, Basarnas, limesema leo Jumamosi, huku watu 15 bado hawajulikani walipo.Kikosi cha wanamaji cha taifa hilo kadhalika kilisema wanajeshi wake 23 walikufa, wakati wakifanya mafunzo ya ulinzi wa mpaka.Maporomoko ya ardhi ya Januari 24 yaliyolikumba kijiji cha Pasir Langu katika eneo la Bandung Barat yalisababishwa na mvua kubwa.