1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Gregor Gysi

Gregor Gysi ni mwanasiasa wa Ujerumani kupitia chama cha mrengo wa kushoto cha Die Linke. Alikuwa msemaji mkuu wa upinzani katika bunge (Bundestag) kufutia uchaguzi mkuu wa mwaka 2013.