1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Elimu kupitia sanaa ya grafiti Nairobi

30 Aprili 2020

Sanaa ya graffiti yaani michoro ya maneno, inaendelea kushika kasi jijini Nairobi. Tofauti na kwingineko ambako wasanii wa Sanaa hii hawajitokezi kimasomaso. Wasanii wa graffiti wanaochipuka jijini Nairobi, wamekuwa mifano bora. Wamechukua jukumu la kuipa jamii mafunzo.

https://p.dw.com/p/3bcQS