Aliyekuwa mkurugenzi wa FBI James Comey ametoa ushahidi dhidi ya rais Donald Trump mbele ya baraza la Seneti na kuukosoa utawala wa Trump, Waingereza wapiga kura katika uchaguzi mkuu, na janga la moto Afrika Kusini lasababisha vifo vya watu wanane na wengine 10,000 kuhamishwa makazi. Papo kwa Papo 08.06.2017