JamiiAfrikaChangamoto za Wazazi viziwi To view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiAfrikaSylvia Mwehozi07.06.20227 Juni 2022Roselyne Owino na mumewe ni walemavu wa kusikia nchini Kenya na wamewalea watoto wao wanne ambao hawajawahi kusikia sauti zao. Wanawasiliana kwa lugha ya ishara. #vijanamubashara.https://p.dw.com/p/4CNO1Matangazo