Katika maeneo mengi ya mashambani nchini Kenya, watoto walio na ulemavu bado wanapitia changamoto si haba zinazotatiza juhudi zao za kuishi maisha ya kawaida. Kwa baadhi ya watoto hawa, itikadi kali, hali ya umasikini na ukosefu wa miundo mbinu vmekuwa kizuizi kwao kufurahia elimu ambayo ni haki yao ya kimsingi. Ungana na Wakio Mbogho kujua mengi katika makala yetu Leo.