1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Chama tawala Burundi chataka kufungulia mashtaka Wabelgiji

20 Novemba 2015

Chama cha Cndd Fdd kinataka kuwafikisha mahakamani Wabelgiji kwa madhila waliofanya tangu wakati wa ukoloni. Wakati huo huo Wabelgiji waishio Burundi wametakiwa na wizara ya mambo ya kigeni ya Ubelgiji kuondoka.

https://p.dw.com/p/1H9LH
Machafuko Burundi
Picha: Reuters/G. Tomasevic

[No title]