1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Asubuhi: Taarifa ya habari 02.04.2021

V2 / S12S2 Aprili 2021

Nchi zenye nguvu duniani zakutana leo kujadili mkataba wa nyuklia wa Iran.// Mashua iliyowabeba wahanga 1,200 wa mashambulizi Msumbiji yawasili Pemba salama.// Nchi za Umoja wa Ulaya zavutana kuhusu namna ya kugawana dozi milioni 10 za chanjo ya Pfizer.

https://p.dw.com/p/3rW9f