Kiongozi mkuu wa Iran amesema kuwa taifa hilo litalinda “uwezo wake wa nyuklia na makombora”+++Mwanamume mwenye uraia wa Uganda na Marekani, Christopher Okello Onyum, ambaye aliwaua kwa kuwachoma visu watoto wanne katika kituo cha kulelea watoto wachanga mapema mwezi huu, amehukumiwa adhabu ya kifo.