1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

29.06.2020 Matangazo Ya Jioni

SK2 / S02S29 Juni 2020

Umoja wa Ulaya umesema upo tayari kuwa mwangalizi wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 2020 nchini Tanzania, endapo watapata ridhaa kutoka katika mamlaka husika// Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi ameunda serikali yake iliyo na mawaziri 15

https://p.dw.com/p/3eWh1