Watu watano wanaripotiwa kuuwawa leo baada ya wapiganaji wa maimai kushambulia kituo cha shirika la afya WHO katika mji mdogo wa Biakato, jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo//China leo imetishia kulipiza kisasi baada ya Marekani kupitisha sheria ya kuunga mkono vuguvugu la kupigania demokrasia mjini Hong Kong