1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.05.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S24 Mei 2019

Kujiuzulu kwa Waziri Mkuu Theresa May kunaonekana kuwa huenda kukaifanya hali ya Uingereza kujiondoa kutoka kwenye Umoja wa Ulaya, Brexit, kuwa ngumu zaidi// Watu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja wamepata pigo baada ya mahakama nchini Kenya kukataa kuhalalisha uhusiano wa aina hiyo

https://p.dw.com/p/3J30X