Wapiga kura vijana katika Umoja wa Ulaya wamekuwa wakiandamana na kuteka akili za wanasiasa katika makao makuu ya Umoja huo Brussels//Huku serikali ya Kenya ikitangaza kuwa kuna ukuaji wa kiuchumi nchini humo, wakenya wengi bado wameelendelea kulalamika kuhusu kuongezeka kwa gharama ya maisha