1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.04.2026 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S23 Aprili 2026

Tume huru ya uchunguzi wa vurugu za wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29 nchini Tanzania leo imekabidhi ripoti yake mbele ya rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan+++Iran imesema haitafungua tena Mlango Bahari wa Hormuz hadi Marekani itakapoondoa mzingiro wa bandari zake.

https://p.dw.com/p/5Chy4