Shirika la Maendeleo la Afrika Mashariki na Upembe wa Afrika- IGAD inafanya mkutano wa dharura kuepusha mizozo miongoni mwa jamii zinazoishi katika maeneo ambako ukame na baa la njaa vinatishia maisha// Rais Donald Trump wa Marekani amezidisha makali ya mzozo wa mashariki ya kati kwa kunyunyizia mafuta katika cheche za moto za mmzozo wa milima ya Golan