Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Bado kuna hali ya sintofahamu kuhusu kufanyika kwa duru ya pili ya mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Iran / Tume Huru ya Kusimamia Uchaguzi na Mipaka nchini Kenya (IEBC) imewasilisha mapendekezo kadhaa ya mageuzi kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2027