1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.11.2019 - Taarifa ya Habari za Asubuhi

V2 / S12S18 Novemba 2019

Wafuasi wa aliyekuwa rais wa Bolivia wamemtaka kiongozi wa mpito nchini humu kujiuzulu. Polisi wa Hong Kong wamevamia Chuo Kikuu kilichoshikiliwa kwa siku kadhaa na waandamanaji. Rais wa Chile amelaani polisi kutumia nguvu kupita kiasi kuwakabili raia wanaoandamana

https://p.dw.com/p/3TD0I