Huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, uchunguzi wa mauaji ya jaji aliyekuwa akisimamia kesi ya msaidizi wa juu wa rais, Vital Kamerhe unaendelea// Wafanyabiashara wa nyama na ngozi ya punda wanashusha pumzi baada ya mahakama kuu kubatilisha uamuzi uliowawekea marufuku mwanzoni mwa mwaka huu