Bado hakuna suluhisho lililofikiwa katika kutafutia ufumbuzi vipengee muhimu vinavyosababisha mkwamo katika mazungumzo ya Brexit kati ya Umoja wa Ulaya na Uingereza wakati viongozi wakuu wakijiandaa kukutana//Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amewataka wanajeshi wa kikurd waweke chini silaha na kulihama eneo la kaskazini mwa Syria