Ungana nasi asubuhi hii kusikiliza taarifa ya habari. Miongoni mwa nyingine ni: Rais Donald Trump aushinikiza muungano wa NATO, ataka isaidie juhudi za kuufungua Mlango Bahari wa Hormuz: Rais Donald Trump na Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer wajadiliana hali kwenye Ukanda wa Mashariki ya Kati: Na Israel kukifungua kivuko cha Rafah siku ya Jumatano.