India, nchi inayotajwa kuwa taifa kubwa zaidi la kidemokrasia duniani, inaanza leo mchakato mrefu wa kuwachangua wabunge// Umoja wa Ulaya wiki hii unapanga kutoa tamko kwenye mkutano wa wakuu wa taasisi za fedha kutoka kwenye nchi 20 zenye uchumi mkubwa duniani (G20)