Kamandi ya jeshi la Iran imesema dunia inapaswa kujitayarisha na kununua pipa moja la mafuta kwa dola mia mbili, wakati meli zaidi zikishambuliwa kwenye eneo la Ghuba+++Rais wa Afrika Kusini amechukuwa hatua ya kawaida ya kupeleka wanajeshi katika maeneo kadhaa ya nchi hiyo yanayokabiliwa na matukio mengi ya kihalifu