1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.10.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S11 Oktoba 2018

Suala la hamahama ya wanasiasa wa upinzani nchini Tanzania na kujiunga na chama tawala cha CCM linaendelea kuumiza vichwa vya wadadisi wa mambo, huku wengi wakihofia taswira ya demokrasia ya taifa hilo la Afrika Mashariki miaka miwili kabla ya kuingia kwenye uchaguzi mwengine mkuu

https://p.dw.com/p/36L61