1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.09.2020 Matangazo Ya Mchana

SK2 / S02S10 Septemba 2020

Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wameanza tena kumlinda mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Denis Mukwege// Mpinzani huyo wa Kremlin amekuwa akipata matibabu katika hospitali ya Charite mjini Berlin, Ujerumani chini ya ulinzi

https://p.dw.com/p/3iH3I