Tunaanza na msiba mkubwa unaoikumba Burundi, kufuatia kifo cha rais wake Pierre Nkurunziza, kilichotangazwa na serikali ya nchi hiyo jana jioni//Tahadhari imetolewa kwenye baadhi ya maeneo ya bonde la ufa nchini Kenya, serikali ikiamuru kusitishwa kwa miradi yote ya ujenzi