1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.03.2026 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S10 Machi 2026

Jeshi la Mapinduzi la Iran limesema leo kuwa halitokubalia meli yoyote ya mafuta kutoka Mashariki ya Kati kupita katika njia ya Hormuz+++Jumuiya ya Afrika Mashariki inakabiliwa na upungufu mkubwa wa fedha. Ni nchi mbili tu kati ya nane katika jumuiya hiyo ndio zinaelezwa kulipa kikamilifu michango yao ya mwaka.

https://p.dw.com/p/5A6GI