1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.01.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S10 Januari 2019

Chama tawala nchini Gabon kinasema rais Ali Bongo Ondimba anayeugua atarejea nyumbani hivi karibuni baada ya jaribio la mapinduzi wiki hii// Mvutano kati ya Rais wa Marekani Donald Trump na viongozi wa chama cha Democratic kuhusu ujenzi wa ukuta wa mpakani unaotakiwa na rais huyo, umeingia sura mpya

https://p.dw.com/p/3BIPb