1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

v

SK2 / S02S9 Agosti 2020

Rais Emannuel Macron wa Ufaransa ameitaka jumuiya ya kimataifa kutoa msaada wa haraka wka Lebanon. Mgombea wa kiti cha urais nchini Belarus ametoa wito wa uchaguzi unaofanyika leo kuwa haki . Afghanistan itawaachia huru wafungwa 400 wa kundi la wanamgambo wa Taliban

https://p.dw.com/p/3ghEj