Maelfu ya watu wamemiminika leo katikati mwa mji mkuu wa Iran, Tehran kumuunga mkono kiongozi mpya wa taifa hilo la Kiislamu Ayatollah Mojtaba Khamenei+++Watanzania waliokwama katika eneo la Mashariki ya Kati wamesafirishwa na wamewasili nchini Tanzania+++DRC - Watu mia moja wanahofiwa kufariki baada ya kufukiwa kwenye mgodi wa kuchimba madini ya coltan