Wafanyakazi wa ngono nchini Kenya wanakabiliana na hali ngumu kwasababu ya kukosa wateja ukizingatia makali ya ugonjwa wa covid19//Kampuni inayohusishwa na serikali ya Umoja wa Falme za Kiarabu, imesaini mkataba wa ushirikiano na kampuni mbili kubwa za kijeshi za Israel kufanya utafiti kuhusu namna ya kukabiliana na janga la virusi vya corona