SiasaKimataifa06.03.2021 - Matangazo ya Mchana To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaKimataifaRashid Chilumba06.03.20216 Machi 2021Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amekutana na kiongozi wa waislamu wa Shia nchini Iraq. Ujerumani imesema uondoaji vikosi vya kigeni nchini Afghanistan ufanyike kwa tahadhari. Côte d'Ivoire inafanya uchaguzi wa bunge hii leo. https://p.dw.com/p/3qITpMatangazo