1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.03.2021 - Matangazo ya Mchana

6 Machi 2021

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amekutana na kiongozi wa waislamu wa Shia nchini Iraq. Ujerumani imesema uondoaji vikosi vya kigeni nchini Afghanistan ufanyike kwa tahadhari. Côte d'Ivoire inafanya uchaguzi wa bunge hii leo.

https://p.dw.com/p/3qITp